banner

Wednesday, May 7, 2014

Breaking news: Gari la princess Muro lapata ajali jioni hii eneo la mikumi mkoani Morogoro…!!

muro

Baadhi ya abiria waliokuwemo kwenye basi la Princess Muro walilokuwa wakisafiri nalo kutoka Mkoani Mbeya kuja jijini Dar es Salaam wakiwa hawajui la kufanya baada ya Basi hilo kupinduka jioni hii katika eneo la Hifadhi ya Wanyama ya Mikumi,Mkoani Morogoro.

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment