
Washiriki wengine na kura walizopata ni CHADEMA 2,544 (10.5%), CUF kura 476 (1.9%), AFP 0.25% na NRA 0.25%
Hadi msimamizi wa uchaguzi huo alipotangaza matokeo, waliotia saini fomu ya matokeo hayo kati ya vyama vyote vilivyoshiriki ni CCM na NRA pekee.

0 comments:
Post a Comment