banner

Thursday, April 24, 2014

Picha mbalimbali za Ajali ya basi la Urio iliyotokea jana jioni mkoani Kilimanjaro



Basi aina ya Urio yenye namba za usajili T 137 BCX inayofanya safari zake moshi kuelekea leguruki mkoani Arusha jana jioni  limepinduka katika eneo la KIA  na kujeruhi watu zaidi ya 31.Mashuhuda waliokuwepo katika eneo la tukio walisema kuwa dereva huyo alikuwa anajaribu kukwepa pikipiki iliyokuwa imejichomeka barabarani.

"Dereva alikuwa anajaribu kukwepa pikipiki ndipo gari ikamshinda na kuhama barabara , ikaanguka na kubiringika mara tatu kichwa chini matairi juu" alisema mmoja  wa shuhuda ambaye akutaka kutaja jina





Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment