Mvua yaendelea kusumbua Dar es Salaam maji kila kona kama hapa inavyoonekana (picha na mdau wetu Mpeli Mwaisumbe)
Mkazi wa jiji la Dar es Salaam akiwa ameokoa baadhi ya mali zake huku asijue kwa kwenda
Mbali ya nyumba hizi kufunikwa na maji ila bado nyumba hii kushoto umeme unawaka jambo ambalo ni hatari zaidi na Tanesco wanatazama (picha na Mroki Mroki)
Hivi ndivyo mvua inavyowatesa wananchi wanaoishi mabondeni jiji Dar es Salaam ila bado hawataki kuhama
0 comments:
Post a Comment