banner

Wednesday, April 30, 2014

VIDEO ya Basi la Hood kutoka Mbeya - kwenda Arusha likiteketea kwa moto eneo la Wami, Pwani

 
Basi la Kampuni ya Hood, lililokuwa likitokea Mbeya kwenda Arusha limeteketea kwa moto tarehe  28  April  jioni eneo la Wami, Pwani. Hakuna mtu  yeyote  aliyepoteza maisha katika ajali hiyo.
 
Hii  ni  video  ya  basi  hilo  wakati  likiteketea  kwa  moto.....

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment