banner

Monday, May 12, 2014

Zitto Kabwe achaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika(Afropac)....Huu ni ujumbe wake alioutoa facebook


Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Kabwe amechaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa umoja wa kamati za mahesabu za nchi za Afrika(Afropac) ili kuziba nafasi ambayo ilikuwa iikishikiliwa na nchi ya Msumbiji.

Baada ya kuchaguliwa kupitia ukurasa wake wa Facebook hiki ndicho alichokiandika.

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment