banner

Sunday, May 25, 2014

Picha za Mtoto Mwenye Jumla Ya Vidole 34..!!

Motto mdogo amewashangaza walio wengi baada ya kuzaliwa na vidole 34…Akshat Saxena ana vidole 7 katika kila mkono wake na pia ana vidole 10 katika kila mguu wake lakini hakuna dole gumba…tazama picha zaidi hapa chini…

Mama wa motto huyo “Amrita” alisema: nilikua na furaha pale nilipojifungua motto huyo kwakua alikua motto wetu wa kwanza lakini nilipomuangalia kwenye vidole nilishtuka sana..Niliingia intanet na kuandika rekodi za mwanangu nikashtuka kuona mwanangu amevunja rekodi kwa kua hiyo rekodi ilikua ikishikiliwa na motto wa kichina aliyekua na vidole 31(15mkononi na 16 miguuni)..(alisema mama huyo)
 
vidole1
 
Akshat kutoka india kaskazini ameenda kufanyiwa surgery kuondoa vidole vilivyozidi na madaktari wanajitahidi kutengeneza dole gumba kutokana na vidole hivyo watakavyotoa…
 
vidole2

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment