banner

Sunday, May 11, 2014

Mwili wa mtu waokotwa mto Mzinga, Kongowe jijini Dar


Mwili wa mtu huyo ukielea kwenye maji ya mto Mzinga.


Mwili baada ya kutolewa nje kabla ya kuzikwa na jiji.
************
Mwili wa mtu mmoja ambaye hakufahamika jina lake umenaswa ukielea ndani ya Mto Mzinga maeneo ya Kongowe jijini Dar es Salaam.....
 
Mwili wa mtu huyo ulipatikana baada ya wakazi wa eneo hilo kudai kuwa harufu kali ilikuwa ikitoka eneo hilo na ndipo waligundua maiti hiyo ambayo waliikuta ikiwa imeharibika kwa kiasi kikubwa.

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment