banner

Friday, May 9, 2014

Freeman Mbowe atangaza baraza jipya la Mawaziri Kivuli....Baraza hilo kwa sasa linavihusisha vyama vya CHADEMA (25), CUF (11) na NCCR-Mageuzi (4)


Kambi rasmi ya upinzani imetangaza baraza la mawazili kivuli katika wizara 29 ambao wanashika hatamu za uongozi kwa kipindi kilichobakia kabla ya uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.

Akitangaza rasmi Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Freeman Mbowe amewataka viongozi walio teuliwa kutumikia vilivyo nafasi zao kwa maendeleo ya watanzania

Walioteuliwa ni pamoja na :
UTAWALA BORA- PROF. KULIKOYELA KAHIGI(CHADEMA)

MENEJIMENTI UTUMISHI WA UMMA – Vicent Nyerere(Chadema)

Ofisi ya rais mahusino na uratibu – Esthre Matiko – Chadema

Ofisi ya makamu wa rais mazingira - MCH. ISRAEL NATSE – Chadema

Ofisi ya waziri mkuu uwekezaji – Pauline Gekul – Chadema

Ofisi ya waziri mkuu sera na uratibu wa bunge - RAJAB MOHAMED MBAROUK(CUF)

Ofisi ya waziri mkuu tamisemi – David Erenest Sirinde ( chadema)

Wizara ya chakula kilimo na ushirika – Meshack Opoulukwa –Chadema

Wizara ya nishati na madini- John Myika (chadema)

Wizara ya fedha na uchumi: James Mbatia ( chadema)

Wizara ya mambo ya nje na ushirikiano wa kimataifa – Ezekeiel Wenje – chadema

Wizara ya katiba sheria na muungano- Tundu Lisu – chadema

Wizara ya ujenzi – Felix Mkosamali –NCCR

Wizara ya maji na umwagiliziaji
– Magdalena Sakaya Cuf

Wizara ya uchukuzi
– Moses Mchali –NCCR

Wizara ya mambo ya ndani ya nchi – Godbles Lema – chadema

Wizara ya aridhi nyumba na makazi – Halima James Mdee – Chadema

Wizara ya manedeleo ya mifugo na uvuvi – Mkiwa Adam Kiwanga – cuf

Wizara ya maliasili na utalii – Mchungaji Peter Msigwa – chadema

Wizara ya ushirikiano wa afrika mashariki- Rukia Ahmed Kasim (cuf)

Wizara ya ulinzi na jeshi la kujenga taifa – Masoud Abdala Salim – CUF

Wizara ya elimu mafunzo ya Ufundi – Suzan Jerome limo – chadema

Wizara ya afya na ustawai wa jamii – Dr Gervas Mbassa – Chadema

Wizara ya viwanda Biashara na masoko – David Kafulila – NCCR

Wizara ya mawasilino sayansi na Teknolojia
– Eng Habib Mnyaa (chadema)

Wizara ya maendeleo ya jamii jinsia na watoto
– Baruani Salum Khalifan (cuf)

Wizara ya kazi na ajira
– Cesilia Paresso – Chadema

Wizara ya habari – Joseph Mbilinyi – Chadema

Socializer Widget By Blogger Yard
SOCIALIZE IT →
FOLLOW US →
SHARE IT →

0 comments:

Post a Comment